‏ Psalms 22:1-2

Kilio Cha Uchungu Na Wimbo Wa Sifa

(Kwa Mwimbishaji: Mtindo Wa Utenzi Wa Kulungu Wa Alfajiri. Zaburi ya Daudi)


1 aMungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
Kwa nini uko mbali hivyo kuniokoa?
Mbali hivyo na maneno ya kuugua kwangu?

2 bEe Mungu wangu, ninalia mchana, lakini hunijibu,
hata usiku, sinyamazi.

Copyright information for SwhKC