Psalms 23:1-2

Bwana Mchungaji Wetu

(Zaburi Ya Daudi)


1 a Bwana ndiye mchungaji wangu,
sitapungukiwa na kitu.

2 bHunilaza katika malisho
ya majani mabichi,
kando ya maji matulivu huniongoza,
Copyright information for SwhKC