Psalms 36:1-2

Uovu Wa Mwanadamu

(Kwa Mwimbishaji: Zaburi Ya Daudi Mtumishi Wa Bwana)


1 aKuna neno moyoni mwangu
kuhusu hali ya dhambi ya mwovu.
Hakuna hofu ya Mungu
mbele ya macho yake.

2 bKwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno
hata hawezi kugundua au kuichukia dhambi yake.
Copyright information for SwhKC