Psalms 36:1-2
Uovu Wa Mwanadamu
(Kwa Mwimbishaji: Zaburi Ya Daudi Mtumishi Wa Bwana)
1 aKuna neno moyoni mwangu
kuhusu hali ya dhambi ya mwovu.
Hakuna hofu ya Mungu
mbele ya macho yake.
2 bKwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno
hata hawezi kugundua au kuichukia dhambi yake.
Copyright information for
SwhKC