Psalms 37:1

Mwisho Wa Mwovu Na Urithi Wa Mwenye Haki

(Zaburi Ya Daudi)


1
Zaburi hii imetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.
bUsisumbuke kwa ajili ya watendao maovu,
wala usiwaonee wivu watendao mabaya,
Copyright information for SwhKC