Psalms 57:1
Kuomba Msaada
(Kwa Mwimbishaji: Mtindo Wa Usiharibu! Utenzi Wa Daudi. Baada Ya Kumponyoka Sauli Pangoni)
1 aUnihurumie, Ee Mungu, unihurumie,
kwa maana nafsi yangu inakukimbilia.
Chini ya uvuli wa mbawa zako nitakimbilia
mpaka maafa yapite.
Copyright information for
SwhKC