Psalms 57:1

Kuomba Msaada

(Kwa Mwimbishaji: Mtindo Wa Usiharibu! Utenzi Wa Daudi. Baada Ya Kumponyoka Sauli Pangoni)


1 aUnihurumie, Ee Mungu, unihurumie,
kwa maana nafsi yangu inakukimbilia.
Chini ya uvuli wa mbawa zako nitakimbilia
mpaka maafa yapite.

Copyright information for SwhKC