Psalms 72:2-4


2 aAtawaamua watu wako kwa haki,
watu wako walioonewa kwa haki.

3 Milima italeta mafanikio kwa watu,
vilima tunda la haki.

4 bAtawatetea walioonewa miongoni mwa watu
na atawaokoa watoto wa wahitaji,
ataponda mdhalimu.

Copyright information for SwhKC