Psalms 78:62-67


62 aAliachia watu wake wauawe kwa upanga,
akaukasirikia sana urithi wake.

63 bMoto uliwaangamiza vijana wao,
na wanawali wao hawakuimbiwa nyimbo za arusi,

64 cmakuhani wao waliuawa kwa upanga,
wala wajane wao hawakuweza kulia.


65 dNdipo Bwana alipoamka kama vile kuamka usingizini,
kama vile mtu aamkavyo kutoka kwenye bumbuazi la mvinyo.

66 eAliwapiga na kuwashinda adui zake,
akawatia katika aibu ya milele.

67 fNdipo alipozikataa hema za Yusufu,
hakulichagua kabila la Efraimu,
Copyright information for SwhKC