Revelation of John 14:13
13 aKisha nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Andika: Wamebarikiwa wafu wafao katika Bwana tangu sasa.” “Naam,” asema Roho, “watapumzika kutoka taabu zao, kwa kuwa matendo yao yatawafuata.” Kuvuna Mavuno Ya Dunia
Copyright information for
SwhKC