Romans 15:10-12
10 aTena yasema, “Enyi watu wa Mataifa, furahinipamoja na watu wa Mungu.”
11 bTena, “Msifuni Bwana, ninyi watu wa Mataifa wote,
na kumwimbia sifa, enyi watu wote.”
12 cTena Isaya anasema, “Shina la Yese litachipuka,
yeye atakayeinuka ili kutawala juu ya mataifa.
Watu wa Mataifa watamtumaini.”
Copyright information for
SwhKC