Zephaniah 2:4-5

Dhidi Ya Ufilisti


4 aGaza utaachwa
na Ashkeloni utaachwa magofu.
Wakati wa adhuhuri Ashdodi utaachwa mtupu
na Ekroni utang’olewa.

5 bOle wenu ninyi ambao mnaishi kando ya bahari,
enyi Wakerethi;
neno la Bwana liko dhidi yenu,
ee Kanaani, nchi ya Wafilisti.

“Mimi nitawaangamiza,
na hakuna atakayebaki.”

Copyright information for SwhKC