a
2Kor 7:8-12
;
12:21
;
7:16
;
8:22
;
Gal 5:10
;
2The 3:4
2 Corinthians 2:3
3
a
Niliandika hivyo kama nilivyofanya, ili nikija nisihuzunishwe na wale watu ambao wangenifanya nifurahi. Nina uhakika na ninyi nyote, kwamba wote mngeshiriki furaha yangu.
Copyright information for
SwhNEN