a
Mdo 8:32
;
Mk 14:61
;
1Pet 2:23
;
Isa 49:26
;
Mt 27:31
;
Yn 1:29
;
Za 44:22
Isaiah 53:7
7
a
Alionewa na kuteswa,
hata hivyo hakufungua kinywa chake;
aliongozwa kama mwana-kondoo
apelekwaye machinjoni,
kama vile kondoo anyamazavyo mbele ya wao wamkataye manyoya,
hivyo hakufungua kinywa chake.
Copyright information for
SwhNEN