‏ Ezra 2

Orodha Ya Watu Waliorudi Kutoka Uhamishoni

(Nehemia 7:4-73)

1Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake, 2wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana):

Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
3
Ili kupanga jedwali lililo katika mstari huu kwa usahihi, imekuwa muhimu kuhamisha maudhui ya aya 4-Ezr 2:20 ndani yake.
wazao wa Paroshi 2,172
(4) wazao wa Shefatia 372
(5) wazao wa Ara 775
(6) wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
(7) wazao wa Elamu 1,254
(8) wazao wa Zatu 945
(9) wazao wa Zakai 760
(10) wazao wa Bani 642
(11) wazao wa Bebai 623
(12) wazao wa Azgadi 1,222
(13) wazao wa Adonikamu 666
(14) wazao wa Bigwai 2,056
(15) wazao wa Adini 454
(16) wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
(17) wazao wa Besai 323
(18) wazao wa Yora 112
(19) wazao wa Hashumu 223
(20) wazao wa Gibari 95

4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20
21
Ili kupanga jedwali lililo katika mstari huu kwa usahihi, imekuwa muhimu kuhamisha maudhui ya aya 22-Ezr 2:35 ndani yake.
watu wa Bethlehemu 123
(22) watu wa Netofa 56
(23) watu wa Anathothi 128
(24) watu wa Azmawethi 42
(25) wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
(26) wazao wa Rama na Geba 621
(27) watu wa Mikmashi 122
(28) watu wa Betheli na Ai 223
(29) wazao wa Nebo 52
(30) wazao wa Magbishi 156
(31) wazao wa Elamu ile ingine 1,254
(32) wazao wa Harimu 320
(33) wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
(34) wazao wa Yeriko 345
(35) wazao wa Senaa 3,630

22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35
36
Ili kupanga jedwali lililo katika mstari huu kwa usahihi, imekuwa muhimu kuhamisha maudhui ya aya 37-Ezr 2:39 ndani yake.
Makuhani:
wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
(37) wazao wa Imeri 1,052
(38) wazao wa Pashuri 1,247
(39) wazao wa Harimu 1,017

37 38 39
40Walawi:

wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia)     74

41Waimbaji:

wazao wa Asafu     128

42Mabawabu wa lango la Hekalu:

wazao wa

Shalumu, Ateri, Talmoni,

Akubu, Hatita na Shobai    
139

43Watumishi wa Hekalu:
Yaani Wanethini (pia 2:58, 70).

wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
44wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
45wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
46wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
47wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
48wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
49wazao wa Uza, Pasea, Besai,
50wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
51wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
52wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
53wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
54wazao wa Nesia na Hatifa.

55Wazao wa watumishi wa Solomoni:
wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
56wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
57wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.

58
Watumishi wa Hekalu wote na

wazao wa watumishi

wa Solomoni
392

59Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
60
wazao wa

Delaya, Tobia na Nekoda
652

61Kutoka miongoni mwa makuhani:
Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
62Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi. 63Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha kifuani cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.

64Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360; 65tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200. 66Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245, 67ngamia 435 na punda 6,720.

68Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake. 69Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000
Darkoni 61,000 za dhahabu ni sawa na kilo 500.
za dhahabu, mane 5,000
Mane 5,000 za fedha ni sawa na kilo 2,900.
za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.

70Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.
Copyright information for SwhNeno