‏ Matthew 13:33

Mfano Wa Chachu

(Luka 13:20-21)

33Akawaambia mfano mwingine, “Ufalme wa Mbinguni unafanana na chachu ambayo mwanamke aliichukua akaichanganya katika kiasi kikubwa cha unga mpaka wote ukaumuka.”
Copyright information for SwhNeno