‏ Luke 8:9-10

9Wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano huo. 10Naye akasema, “Ninyi mmepewa kufahamu siri za Ufalme wa Mungu, lakini kwa wengine nazungumza kwa mifano, ili, “ ‘ingawa wanatazama, wasione;
ingawa wanasikiliza, wasielewe.’
Copyright information for SwhNeno