Matthew 10:28
28 aMsiwaogope wale wauao mwili lakini hawawezi kuua roho. Afadhali mwogopeni yeye awezaye kuiangamiza roho na mwili katika jehanamu. ▼▼Jehanamu kwa Kiyunani ni Gehena, maana yake ni Kuzimu, yaani motoni.
Copyright information for
SwhNEN